nini kazi/matumizi ya SOAP and REST
.......4 034 067: What is soap and rest
3 013 199: Emmanuel hizo ni web services...
Technology inayoruhusu web apps au system kuwasiliana zenyewe automatic
Mfano mzuri ni MAXMALIPO.... Ninachopendea maxmalipo jamaa wamecapture soko LA muhimu sana mpaka itafikia kipindi Hamna mobile au online transaction itapita bila kumgusa MAXMALIPO
Mfano mwengine ushawahi login kwenye site ikakuambia login with facebook au Twitter.... Unavyoclick inamaana webservice ndio zinafanyakazi
Kwakweli ni big issue hasa katika hiki kipindi vitu Vingi vinakua automated...
Imagine mfumo wa traffic...
Unachukua data kutoka TRA.
unachukua data kutoka EWURA..
Unachukua taarifa za malipo kutoka MAXMALIPO....
MAXMALIPO yenyewe imeunganisha mifumo mengine mingi ya malipo ....
Yaani ndio ile ukizipatia fresh...Wewe ni kucode once kula bata for life
KWA UFAHAMU ZAIDI SOMA HILI JEDWALI ILI UWEZE KUJUA KAZI ZAKE NA TOFAUTI ZAKE
Are you desperately in need of a hacker in any area of your life??? then you can contact; ( hackintechnologyatGMAILdotCOM ) services like; -hack into your cheating partner's phone(whatsapp,bbm.gmail,icloud,facebook, twitter,snap chat and others) -Sales of Blank ATM cards. -hack into email accounts and trace email location -all social media accounts, -school database to clear or change grades, -Retrieval of lost file/documents -DUIs -company records and systems, -Bank accounts,Paypal accounts -Credit cards hacker -Credit score hack -Monitor any phone and email address -Websites hacking, pentesting. -IP addresses and people tracking. -Hacking courses and classes CONTACT THEM= .hackintechnologyatGMAILdotCOM WHATSAPP +12132951376(WHATSAPP) my services are the best on the market and 100% security and discreet work is guarantee
ReplyDelete